Mimi nilikataa kufungwa akili nikafungwa mwili pale Ruanda Prison,Mbowe amekataa kufungwa akili amefungwa mwili huko Keko Prison lakini akili yake ipo huru.Kuna viongozi wa kiraia na majeshi miili yao ipo huru mpaka wanaota vitambi utadhani wamemeza amila lakini akili zao zimefungwa hazipo huru.
Disclaimer
The data provides is not authorized by TikTok. We are not an official partner of TikTok.
Use of materials from the resource is permitted only with a link to our resource.